Masharti ya Matumizi

1. Utambulisho wa Huduma

NyumbaFasta ni jukwaa la Tanzania linalowezesha madalali wa nyumba na wateja kukutana. Huduma hii inamilikiwa na kuendeshwa na NyumbaFasta Tanzania.

2. Matumizi Yanayoruhusiwa

  • • Wateja wanaweza kutumia app kutafuta na kuhifadhi listings.
  • • Madalali wanaweza kuongeza listings baada ya kununua subscription.
  • • Kila mtumiaji anatakiwa kutoa taarifa za kweli wakati wa kusajili.

3. Malipo

  • • Kufungua contact ya dalali kunagharimu Tsh 2,000.
  • • Subscription ya Basic ni Tsh 10,000/mwezi (listings 5).
  • • Subscription ya Premium ni Tsh 25,000/mwezi (listings 20 + boost).
  • • Malipo yote hayarudishwi baada ya huduma kutolewa.

4. Faragha ya Data

Tunalinda taarifa zako binafsi. Hatushirikishi data yako na watu wa nje bila idhini yako. Nambari ya simu ya dalali inafunuliwa kwa wateja wanaolipa tu.

5. Maudhui

Maudhui yote (picha, maelezo) yanayopokelewa ni ya mwenyewe wake. NyumbaFasta ina haki ya kuondoa maudhui yanayovunja sheria au masharti haya.

6. Wasiliana Nasi

Kwa maswali au malalamiko kuhusu masharti haya, wasiliana nasi:

💬Wasiliana Nasi WhatsApp

Imesasishwa: Mei 2026 · NyumbaFasta Tanzania